My name is Fabian Frank Sengati born in March 13, working in private Campany. Am also student of SAUTI Mwanza taking BAPRM,
but also am a businessman and married with one child. My hobby is enjoying beach and meditation .
GET WISE
Wednesday, June 13, 2018
My simple profile
Friday, June 8, 2018
How to Achieve Anything You Want in Life
1. Focus on commitment, not motivation.
Just how committed are you to your goal? How important is it for you, and what are you willing to sacrifice in order to achieve it? If you find yourself fully committed, motivation will follow
2. Seek knowledge, not results.
If you focus on the excitement of discovery, improving, exploring and experimenting, your motivation will always be fueled. If you focus only on results, your motivation will be like weather—it will die the minute you hit a storm. So the key is to not the destination. Keep thinking about what you are learning along the way and what you can improve.
3. Make the journey fun.
It’s an awesome game! The minute you make it serious, there’s a big chance it will start and you will lose perspective and become stuck again
4. Get rid of stagnating thoughts.
Thoughts influence feelings and feelings determine how you view your work. You have a lot of thoughts in your head, and you always have a choice of which ones to focus on: the ones that will make you emotionally stuck (fears, doubts) or the ones that will move you forward (excitement, experimenting, trying new.
5. Use your imagination.
Next step after getting rid of negative thoughts is to use your imagination. When things go well, you are full of positive energy, and when you are experiencing difficulties, you need to be even more energetic. So rename your situation. If you keep repeating I hate my work, guess which feelings those words will evoke? It’s a matter of imagination! You can always find something to learn even from the worst boss in the world at the most boring job. I have a great exercise for you: Just for three days, think and say positive things only. See what happens.
6. Stop being nice to yourself.
Motivation means action and Sometimes your actions fail to bring the results you want. So you prefer to be nice to yourself and not put yourself in a difficult situation. You wait for the perfect timing, for an opportunity, while you drive yourself into stagnation and sometimes even into depression. Get out there, challenge yourself, do something that you want to do even if you are afraid.
7. Get rid of distractions.
Meaningless things and distractions will always be in your way, especially those easy, usual things you would rather do instead of focusing on new challenging and meaningful projects. Learn to focus on what is the most important. Write a list of time-wasters and hold yourself accountable to not do them.
8. Don’t rely on others.
You should never expect others to do it for you, not even your partner, friend or boss. They are all busy with their own needs. No one will make you happy or achieve your goals for you.
9. Plan.
Know your three steps forward. You do not need more. Fill out your weekly calendar, noting whenyou will do what and how. When-what-how is important to schedule. Review how each day went by what you learned and revise.
10. Protect yourself from burnout.
It’s easy to burn out when you are very motivated. Observe yourself to recognize any signs of tiredness and take time to rest. Your body and mind rest when you schedule relaxation and fun time into your weekly calendar. Do diverse tasks, keep switching between something creative and logical, something physical and still, working alone and with a team. Switch locations. Meditate, or just take deep breaths, close your eyes, or focus on one thing for five minutes.
You lack motivation not because you are lazy or don’t have a goal. Even the biggest stars, richest businesspeople or the most accomplished athletes get lost sometimes. What makes them motivated is the curiosity about how much better or faster they can get. So above all, be curious, and this will lead you to your goals and success.
After knowing how to success in life now you can restart the life.
After knowing how to success in life now you can restart the life.
Thursday, June 7, 2018
I Will die on my own land but the truth will be out.
No freedom of expression.
Think twice about our freedom.
Think twice about our freedom.
How to make good reputation in life.
Today, we have to think more about reputation management even more than we did in the past. Not only do we have to worry about how we present ourselves in the flesh, but we also have to be aware of how we come across online. I’m not here to teach you the basics, like avoiding immature or offensive content on social media pages. Hopefully, you know that. I’m here to remind you to create a great impression in real life and then leverage that work to create a strong reputation currency
- Do what you say you’ll do. It sounds so darn simple, but think about it: How many times did you request that your banker send you something, that your assistant pick something up, or that your vendor call you back, to no avail? You then have to remember to follow up and hope that they keep their word. Now think of a time when someone told you they’d do something and delivered on it. You probably think of them as reliable and dependable. You trust them. And in all likelihood, you’d give them a strong recommendation or referral, right? Aim to be that person.
- Go out of your way to help others reach their goals. Being reputable goes beyond a concern for yourself and your own advancement. Foster a mindset of helping other people. Is your friend’s child in college and looking to get some insights into the business world? Offer to spend some time speaking with him/her to offer guidance and answer questions. Do you know someone in sales who is looking for a deal? Ask them if you can help by making the right introduction. Does one of your co-workers need to leave 30 minutes early for a family commitment? Offer to cover for them.
- Make other people look good. Have you ever been thrown under the bus? No fun, right? It’s important to find ways to make other people look good (for reasons other than not being a jerk). Did someone refer you to a company as a possible client or for a job? Make sure to make them look great as a thank you! Get there early, be prepared, and follow up accordingly in a timely manner with both parties. By making the referring party look great for introducing you, your reputation continues to grow.
- Go a step beyond what is expected. Did someone ask for a reference from you? Offer three. Did you say you’d save them 10 percent? Save them 15. Did you say you’d follow up in 24 hours? Follow up in 12. If you had a great meeting, send a hand-written thank you note. These small gestures go a long way and will make you stand out.
- Look the part. An often overlooked and undervalued component to your reputation is your first impression. And like it or not, people make judgements before you open your mouth. Be sure to dress for the environment you’re in. Don’t be too casual. Always err on the side of being too dressy if you aren’t sure of the dress code. Make sure your attire is clean, unwrinkled, well fitting and modern. Have your hair groomed, and if you wear makeup, make sure it’s not distracting. Don’t lose your chance to impress someone simply because you don’t look appropriate.
- Consider your body language. Your body language tells people a lot. Make sure you have your body facing your audience, your feet pointed towards them, and a tall stance. Nod your head to show agreement, leaning into the other person at times, and smile here and there. Check out body language expert Vanessa Van Edwards, founder of the , for some great tips on how your body language is speaking for you.
- Be consistent. Being inauthentic will do you no good, because you won’t be able to remain consistent. You need to show the same great qualities to everyone you meet, bad days included. If you are great in one setting and nasty, rude, and/or cold in other environments, your reputation will suffer. People are willing to share negative experiences much more readily than positive ones. And as you know, they can spread quickly.
- Act with integrity. This should be the foundation of everything you do. But, especially in the world of business, small acts of greed, selfishness and jealousy can work against you (in ways you may not even notice) and showcase your lack of integrity. If you wouldn’t buy the deal you’re selling, don’t sell it. If you know you can’t get back to someone when you promise, that is not being forthright
- Get engaged with your community. Your community can be as small as your office or as large as your city. Your engagement will have everything to do with your values and goals. Being engaged means getting to know people, giving back your time and resources, and being available.
- Be likeable. Being likeable directly relates to being you. Smile more, approach someone you don’t know, offer a handshake, or wish someone congratulations. These small things can all make you more likeable. What is unlikeable is being fake. Be careful not to falsify who you are just
Wednesday, June 6, 2018
How to prepare your future retirement.
Is better to suffer when your youth rather than old age.
6 Ways to Prepare for Retirement in Your 20s and 30s
Compound interest works best when you start saving early in your career.
Although retirement may be decades away when you're in your 20s and 30s, it's an important milestone to start planning for. The earlier you start thinking about and preparing for it, the less likely you are to have to play a game of . To get yourself started with retirement planning, consider these six ways to prepare:
Open an account already. If your employer offers a savings vehicle, such as a 401(k), take advantage of it. You can also open your own traditional IRA or Roth IRA. While saving early is important, so is the habit of doing so automatically on an ongoing basis. By setting yourself up with automatic paycheck deductions or , you're getting into the habit of putting money aside for your future. Aim to save at least 10 percent of your gross income and work up from there.
Take advantage of free money and benefits. Employee benefit booklets are not the most riveting read, but they're full of useful information. Find out if your employer offers a health savings account, dependent care savings account and flexible savings account. These benefits will reduce your taxable income and increase your ability to save more. In addition, find out if your employer offers a 401(k) match. If so, they are , so take advantage of it. A 401(k) match typically requires you to contribute a certain amount of your base pay up to a pre-set limit, and the company will match your contribution with funds of their own. For example, your employer might match 50 percent of your personal contributions to your 401(k) up to 6 percent of your salary.
Understand how compound interest works.When you invest, you. You then earn interest on that interest. This is called compound interest. This extra bit of compounding interest can really make a difference over the course of a working career. The best way to show its power is with a basic example:Let's say you start saving for retirement at age 25, invest $100 a month for 10 years and then stop at age 35. You will have contributed $12,000, and with an annual interest rate of 6 percent your balance will have grown to $15,996. If you leave this savings in a retirement account until age 65 and it continues to earn 6 percent annual returns, you will have $91,873 at 65.
Now assume your friend, Late Larry, waited until age 35 to start investing. He contributed $100 a month for 10 years until age 45 and received the same 6 percent annual return. Even though he contributed and earned the same amounts, his account is worth only $51,301 at age 65, far less than if he had started saving at age 25
Increase your earnings potential. One of your most valuable assets is your ability to earn an income. The more you learn and the further you advance your career, the more you will be able to enhance your earnings capabilities and There might be skills or certifications you could acquire to enhance your value or diversify your experience. You could also attend conferences, events or trainings that could lead to new opportunities. When it comes to your education, subscribing to the lifelong learning model will help keep you employable as the job market changes. You could also pursue knowledge about related industries and fields. Some of the most creative and refreshing ideas can come when you're exposed to how other businesses are
Get out of debt. Keep in mind that not all debt is created equal. If you have high-interest credit card debt, this should be one of the first things you try to pay off because it's costing you the most. Then, look at your other debts and decide the most effective way to repay them.
As you pay off your debts incrementally, put your "extra" payments to new debt. For example, if you paid $150 a month to a $2,000 debt, but recently paid it off, put that $150 toward another debt in addition to the amount you're paying now. You won't miss the money and you'll increase the speed at which you pay off your outstanding debts.
Get a financial education. It's incredibly important that you understand what is happening with your money. Ask questions of your accountant, attorney and financial planner. Read books on personal finance. Read the fine print on contracts, agreements and anything else you put your signature on, and ask questions before signing. Knowledge will help you to grow your money, and there are no stupid questions.
Mjue Mke Bola Katika Maisha yako.
TAKWIMU ZINAONYESHA WANAWAKE NI WENGI KULIKO WANAUME.
Kutokana na ukweli kwamba maisha yamebadilika sana hivyo kupelekea ugumu wa maisha, kwa asilimia kubwa,Kutokana na wanawake kuwa wengi zaidi imepelekea kuasili maisha yao hivyo kubadili kabisa mfumo wa maisha yao.
Kutokana na mvulugiko wa maisho wanawake wamekuwa hawatabiliki katika mahusiano yao ya mapenzi hivyo kusababisha ugumu kwa wanaume kutambua yupi mke bola wa kuoa katika maisha.Kutokana na hayo yafuatazo ni baadhi ya mambo ya kuzingatia kutambua mwanamke bola wa kuoa ktk maisha yako.
Sifa za Mwanamke wa Kuoa;
Sifa za Mwanamke wa Kuoa
Habari wana jamvi wenzangu. Leo nitazungumazia juu ya aina ya wanawake ambao wanaume wengi hupendelea kuoa.
Wanaume wengi wanapofikia hatua ya kuoa si kwamba wanakurupuka tu na kuoa mwanamke yeyote mwenye sura nzuri, bali huchukua muda wao mwingi kuchunguza mambo mengi juu ya wake ambao wanadhani kwamba wanaweza kuwa pamoja kwa kipindi chote cha maisha.
Wanawake wengi wanajisahau na kudhani kwamba kitu kinachowezakuwafanya wakapata wachumba niuzuri hivyo kupoteza muda wao kujichubua na kujiremba ili wawavutie wanaume bila kujua kwamba kuolewa ni zaidi ya uzuri.
Hali sasa hivi imebadilika ni tofauti na kipindi cha nyuma ambapo ukiwa na sura nzuri na umbo la kuvutia basi una asilimia 100 za kuolewa.
Utafiti ambao nimeufanya unaonesha kwamba zaidi ya uzuri wa tabia na umbo, kuna kuna sifa nyingine za msingi ambazo mwanamke anatakiwa kuwa nazo ili aweze kuwa katika mazingira mazuri ya kupata mchumba wa kumuoa kiasi kwamba asipokuwa nazo ataishia kuchezewa tu lakini haitatokea mtu kumtakiwa kwamba anataka kumuoa.
1. MWEYE MAPENZI YA KWELI
Lengo kubwa la mwanaume kuoa ni kutaka kupata mapenzi ya
kweli kutoka kwa mwanamke na ikiwezekana waweze kupata watotoa ambapo watoto
mara ndio wamekuwa furaha ya ndoa. Wapo wanawake wengine ambao wanonesha wazi
kutokuwa na mapenzi ya kweli bali wanakuwa na mapenzi ya kuzuga. Wanachotaka
wao aidha kupata umaarufu tu kwamba yuko na mtu fulani ama kuweza kupata pesa
alizonazo mwanaume lakini sio kwamba ana mapenzi ya dhati kutoka moyoni mwake.
Mwanamke asiye na mapenzi ya dhati utamgundua tu, muda mwingiutamuona macho yake yako kwenye mfuko wa mwanaume. Akiona kwamba mfuko umetuna utaona anaonesha mapenzi ya hali ya juu lakini pindi hali inapokuwa kubwa mbaya kifedha mapenzi yanaanza kufifia.
Kwanini wanaume wanapenda wana wake wenye mapenzi ya dhati kutoka mioyoni mwao na si kutokana na fedha walizonazo? Hii inatokana na ukweli kwamba maisha siku zote yanabadilika, kama waswahili wanavyosema, kuna kupanda na kushuka.
Sio kwamba kila siku utakuwa na maisha mazuri na kama itatokea hivyo basi ushukuru mungu.Hivyo basi mwanamke wa kuoa lazima afahamu hivyo na awe tayari kuonesha mapenzi yake ya dhati wakati wote wa maisha yao na si kwa kipindi fulani tu cha neema.
Si hivyo tu pia asilimia kubwa ya maisha ya ndoa yanatawaliwa na mapenzi, kwa hiyo nyanja hiyo inakuwa ya msingi sana kwa wanaume wengi kuiangalia ili wasije wakajikuta wanaoa mwanamke ambaye baada ya muda mapenzi yanakwenda likizo hali ambayo inaweza kuwafanya wasiishi maisha ya raha mustarehe.
Mwanamke asiye na mapenzi ya dhati utamgundua tu, muda mwingiutamuona macho yake yako kwenye mfuko wa mwanaume. Akiona kwamba mfuko umetuna utaona anaonesha mapenzi ya hali ya juu lakini pindi hali inapokuwa kubwa mbaya kifedha mapenzi yanaanza kufifia.
Kwanini wanaume wanapenda wana wake wenye mapenzi ya dhati kutoka mioyoni mwao na si kutokana na fedha walizonazo? Hii inatokana na ukweli kwamba maisha siku zote yanabadilika, kama waswahili wanavyosema, kuna kupanda na kushuka.
Sio kwamba kila siku utakuwa na maisha mazuri na kama itatokea hivyo basi ushukuru mungu.Hivyo basi mwanamke wa kuoa lazima afahamu hivyo na awe tayari kuonesha mapenzi yake ya dhati wakati wote wa maisha yao na si kwa kipindi fulani tu cha neema.
Si hivyo tu pia asilimia kubwa ya maisha ya ndoa yanatawaliwa na mapenzi, kwa hiyo nyanja hiyo inakuwa ya msingi sana kwa wanaume wengi kuiangalia ili wasije wakajikuta wanaoa mwanamke ambaye baada ya muda mapenzi yanakwenda likizo hali ambayo inaweza kuwafanya wasiishi maisha ya raha mustarehe.
2. WENYE TABIA NZURI
Tabia njema ndio silaha ya maisha, ukiwa na tabia nzuri kila mtu atakupenda, hiyo ni katika maisha ya kawaida. Lakini linapokuja sualana kuoa tabia inakuwa kitu cha awali sana kungaliwa na hiyo inaweza kuwa na ukweli kwa sababu wapo wasichana wazuri wenye mvuto wa aina yake na maumbile mazuri, lakini wanakosa wanaume wa kuwaoa, ukiuliza kwani utaambiwa anatabia mbaya.
Naweza kusema hilo ndilo limekuwa tatizo kubwa kwa baadhi ya wanawake kukosa wanaume wa kuwaona. Hakuna mwanaume hata mmoja kati ya wale ambao nimejaribu kuongea naye ambaye ameonesha kulidharau suala hilo la tabia.
Si hivyo tu wapo wanaume ambao wameingia kichwa kichwa na kuoa kwa kuangalia sura tu bila kujali tabia, matokeo yake baada ya siku chache yanatokea machafuko ya aina yake hali ambayo imepelekea kuvunjika kwa ndoa kutokana na tabia mbaya alizonazo mwanamke.
Tabia njema ndio silaha ya maisha, ukiwa na tabia nzuri kila mtu atakupenda, hiyo ni katika maisha ya kawaida. Lakini linapokuja sualana kuoa tabia inakuwa kitu cha awali sana kungaliwa na hiyo inaweza kuwa na ukweli kwa sababu wapo wasichana wazuri wenye mvuto wa aina yake na maumbile mazuri, lakini wanakosa wanaume wa kuwaoa, ukiuliza kwani utaambiwa anatabia mbaya.
Naweza kusema hilo ndilo limekuwa tatizo kubwa kwa baadhi ya wanawake kukosa wanaume wa kuwaona. Hakuna mwanaume hata mmoja kati ya wale ambao nimejaribu kuongea naye ambaye ameonesha kulidharau suala hilo la tabia.
Si hivyo tu wapo wanaume ambao wameingia kichwa kichwa na kuoa kwa kuangalia sura tu bila kujali tabia, matokeo yake baada ya siku chache yanatokea machafuko ya aina yake hali ambayo imepelekea kuvunjika kwa ndoa kutokana na tabia mbaya alizonazo mwanamke.
3. WENYE UCHU NA MAENDELEO
Hivi karibuni kumekuwepo na mabadiliko ya aina yake kwa wanaume, wengi sasa hivi hawapendi kabisa kuoa mwanamke ambaye hana kazi yaani 'golikipa'. Kama atakuwa hana kazi basi awe na uchu wa maendeleo kwa kujituma kufanya kazi mbalimbali za kimaendeleo kama vile kilimo kwa wale walio vijijini na biashara ndogondogo kwa wale ambao wako mijijini na hata vijijini.
Ile dhana ya kusema mwanamke ni mama wa nyumbani wa kukaa na kujipodoa akimsubiria mwnaume arudi amstarehesha, sasa hivi imepitwa na wakati. Wanaume wengi wanapenda wanawake ambao ni wahangaikaji, wenye ndoto za maendeleo katika maisha yao. Hata kama watakuwa si wafanyakazi lakini wawe wenye kutoa ushauri kwa waume zao juu ya jinsi gani wafanye ili wafanikiwe.
Hivi karibuni kumekuwepo na mabadiliko ya aina yake kwa wanaume, wengi sasa hivi hawapendi kabisa kuoa mwanamke ambaye hana kazi yaani 'golikipa'. Kama atakuwa hana kazi basi awe na uchu wa maendeleo kwa kujituma kufanya kazi mbalimbali za kimaendeleo kama vile kilimo kwa wale walio vijijini na biashara ndogondogo kwa wale ambao wako mijijini na hata vijijini.
Ile dhana ya kusema mwanamke ni mama wa nyumbani wa kukaa na kujipodoa akimsubiria mwnaume arudi amstarehesha, sasa hivi imepitwa na wakati. Wanaume wengi wanapenda wanawake ambao ni wahangaikaji, wenye ndoto za maendeleo katika maisha yao. Hata kama watakuwa si wafanyakazi lakini wawe wenye kutoa ushauri kwa waume zao juu ya jinsi gani wafanye ili wafanikiwe.
4. WASIOPENDA MAKUU
Kuna wanawake wengine wanakuwa na tabia za ajabu sana kiasi kwamba yaweza kuwa kero kwa wanaume. Wapo wanawake ambao wanapenda makuu bila kujali hali halisi ilivyo. Kuna wanawake naweza kusema wana tamaa, kila wikiendi utamsikia "leo tunakwenda wapi dear?"
Akimuona rafiki yake kanunua simuya laki tatu na yeye utamsikia akisema, na mimi naomba uninunulie simu kama ya Grace. Ukienda naye Pub anakuambia,"mimi sinywi pombe za chupa natumia za kopo tena Heineken. Yeye hajali kiasi cha pesa mwanaume alicho nacho na usipotekelezea anachukia na anaweza hata kupunguza mapenzi.
Wanawake kama hawa wako katika mazingira magumu sana ya kuweza kupata wanaume wa kuwaoa. Mara nyingi katika maisha fedha huzungumza, kama mwanaume atakuwa na pesa ya kutosha itakuwa rahisi sana kwa mwanamke kupata kila atakachopenda lakini si kwa kumwambia mimi nataka kitu fulani.Mwanaune mwenyewe utamsikia akisema, unataka nikununulie simu ya aina gani, au leo unataka twende wapi? hapo ndipo utakuwa na nafasi ya kusema, mimi nataka uninunulie simu kama ya fulani ama leo nataka twende sehemu fulani.
Wanaume ni warahisi sana wa kuwapatia wale ambao wanatarajia kuwaoa chochote ambacho watahitaji kama tu pesa haitakuwa tatizo. Kitu ambacho kinawaudhi wanaume wengi ni ile tabia ya mwanamke kupenda mambo makubwa bila kuangalia uwezo uliopo kwa mwanume.
Kuna wanawake wengine wao si wasemaji kabisa, yeye anasubiri leoamemletea hiki, anapokea na kushukuru, kesho akiambiwa twende beach anakubali. Au wengine wanasubiri mpaka waulizwe wanataka nini, ndio wanasema.
Sisemi kwamba uwe mkimya tu hata kama una shida ya kitu fulani na unafahamu kwamba ukimweleza mwenza wako anaweza kukusaidia, hapana! kama unaona kwamba uwezekano wa kupata kile ambacho unakihitajiupo mweleze kwa utaratibu naamini atakuelewa na kukutimizia.Tabia ambayo hawaipendi wanaume wengi ni ile ya kulazimisha ufanyiwe kitu fulaniwakati inawezekana uwezekano haupo.
Kuna wanawake wengine wanakuwa na tabia za ajabu sana kiasi kwamba yaweza kuwa kero kwa wanaume. Wapo wanawake ambao wanapenda makuu bila kujali hali halisi ilivyo. Kuna wanawake naweza kusema wana tamaa, kila wikiendi utamsikia "leo tunakwenda wapi dear?"
Akimuona rafiki yake kanunua simuya laki tatu na yeye utamsikia akisema, na mimi naomba uninunulie simu kama ya Grace. Ukienda naye Pub anakuambia,"mimi sinywi pombe za chupa natumia za kopo tena Heineken. Yeye hajali kiasi cha pesa mwanaume alicho nacho na usipotekelezea anachukia na anaweza hata kupunguza mapenzi.
Wanawake kama hawa wako katika mazingira magumu sana ya kuweza kupata wanaume wa kuwaoa. Mara nyingi katika maisha fedha huzungumza, kama mwanaume atakuwa na pesa ya kutosha itakuwa rahisi sana kwa mwanamke kupata kila atakachopenda lakini si kwa kumwambia mimi nataka kitu fulani.Mwanaune mwenyewe utamsikia akisema, unataka nikununulie simu ya aina gani, au leo unataka twende wapi? hapo ndipo utakuwa na nafasi ya kusema, mimi nataka uninunulie simu kama ya fulani ama leo nataka twende sehemu fulani.
Wanaume ni warahisi sana wa kuwapatia wale ambao wanatarajia kuwaoa chochote ambacho watahitaji kama tu pesa haitakuwa tatizo. Kitu ambacho kinawaudhi wanaume wengi ni ile tabia ya mwanamke kupenda mambo makubwa bila kuangalia uwezo uliopo kwa mwanume.
Kuna wanawake wengine wao si wasemaji kabisa, yeye anasubiri leoamemletea hiki, anapokea na kushukuru, kesho akiambiwa twende beach anakubali. Au wengine wanasubiri mpaka waulizwe wanataka nini, ndio wanasema.
Sisemi kwamba uwe mkimya tu hata kama una shida ya kitu fulani na unafahamu kwamba ukimweleza mwenza wako anaweza kukusaidia, hapana! kama unaona kwamba uwezekano wa kupata kile ambacho unakihitajiupo mweleze kwa utaratibu naamini atakuelewa na kukutimizia.Tabia ambayo hawaipendi wanaume wengi ni ile ya kulazimisha ufanyiwe kitu fulaniwakati inawezekana uwezekano haupo.
5. WAVUMILIVU
Wapo wanawake ambao sio wavumilivu kabisa katika maisha.Tunajua kwamba maisha siku zote hayatabiriki, yanaweza kutokea matatizo ya kiafya ama kifedha.Huu ndio wakati wa kuona uvumilivu wa mtu.Kama mwanamke anatarajia kwamba siku zote ni za raha tu na pindi matatizo yanapotokea anachukua uamuzi wa kumtoroka mwanume, huyo siyo mwanamke wa kuoa.
Wangapi leo hii huwatoroka waume zao pindi inapotokea kuumwa, kufilisika ama kupatwa na tatizo lolote ambalo kwa namna moja ama nyingine yanaweza kuwafanya maisha yao kutingishika?
Uvumilivu kwa mwanamke utakuwepo kama tu atakuwa na mapenzi ya dhati kama nilivyozungumza hapo awali. Mwanamke mweye mapenzi ya dhati ni lazima atakuwa mvumilivu na atakuwa tayari kuishi katika maisha ya aina yoyote, yawe ya raha ama ya starehe.Hawa ndio wale ambao wanaume wengi wengependa kuwa nao maishani mwao.
Licha ya kupenda kuoa wanawake amabo wana tabia hizo nilizozitaja hapo juu, wanachukizwa sana na wanawake ambao wanavijitabia vidogo vidogo ambavyo kimsingi havikubaliki katka jamii.
Tabia hizo ni kama wambea, wasio wakweli na wawazi, wasioridhika, wagumu kusamehe na wapesi wa kuchukia, wagomvi na wenye roho ya kwanini.
Utafiti huu umefanyikwa kwa baadhi ya wanaume ambao wanatarajia kuoa wanawake ambao wanaoishi katika maeneo mbalimbali
Kwa maana hiyo basi hiyo iwe changamoto kwa wanawake. Wajue kwamba wanaume wanafurahi kuwa na wanawake wa aina gani. Hata kama utakuwa umeshaolewa, kama kuna wakati kunakuwa na kutokuelewana baina yenu, chunguza yawezekana kwamba unakosa mojawapo ya tabia ambazo nimezitaja hapo juu. Waweza kubadilika kwani inawezekana.
Wapo wanawake ambao sio wavumilivu kabisa katika maisha.Tunajua kwamba maisha siku zote hayatabiriki, yanaweza kutokea matatizo ya kiafya ama kifedha.Huu ndio wakati wa kuona uvumilivu wa mtu.Kama mwanamke anatarajia kwamba siku zote ni za raha tu na pindi matatizo yanapotokea anachukua uamuzi wa kumtoroka mwanume, huyo siyo mwanamke wa kuoa.
Wangapi leo hii huwatoroka waume zao pindi inapotokea kuumwa, kufilisika ama kupatwa na tatizo lolote ambalo kwa namna moja ama nyingine yanaweza kuwafanya maisha yao kutingishika?
Uvumilivu kwa mwanamke utakuwepo kama tu atakuwa na mapenzi ya dhati kama nilivyozungumza hapo awali. Mwanamke mweye mapenzi ya dhati ni lazima atakuwa mvumilivu na atakuwa tayari kuishi katika maisha ya aina yoyote, yawe ya raha ama ya starehe.Hawa ndio wale ambao wanaume wengi wengependa kuwa nao maishani mwao.
Licha ya kupenda kuoa wanawake amabo wana tabia hizo nilizozitaja hapo juu, wanachukizwa sana na wanawake ambao wanavijitabia vidogo vidogo ambavyo kimsingi havikubaliki katka jamii.
Tabia hizo ni kama wambea, wasio wakweli na wawazi, wasioridhika, wagumu kusamehe na wapesi wa kuchukia, wagomvi na wenye roho ya kwanini.
Utafiti huu umefanyikwa kwa baadhi ya wanaume ambao wanatarajia kuoa wanawake ambao wanaoishi katika maeneo mbalimbali
Kwa maana hiyo basi hiyo iwe changamoto kwa wanawake. Wajue kwamba wanaume wanafurahi kuwa na wanawake wa aina gani. Hata kama utakuwa umeshaolewa, kama kuna wakati kunakuwa na kutokuelewana baina yenu, chunguza yawezekana kwamba unakosa mojawapo ya tabia ambazo nimezitaja hapo juu. Waweza kubadilika kwani inawezekana.
Tuesday, June 5, 2018
Utajuaje umpendae anakupenda?
Kuna mambo makuu Matano unatakiwa kuyatambua:
1)katika matatizo hatakuacha.
2)Hapendi udhalilike Mbele yake.
3)Atakushauli katika Maisha ufanikiwe.
4)Atakufichia sili zako zote.
5)Atataka kujua kila wakati unaendeleaje.
Subscribe to:
Comments (Atom)



